Who cares kwani wananchi wameamua kufanya kazi na passport wanazo fedha zipo na Dubai na dunia nzima wanashusha mzigo port uzuri hata ndege wanazo za kwenda Nairobi, Dubai kila siku
Hawa wasomali wa bongo tu kuoa kazi seuze hao somaliland. Jitafutie mmakonde wako mwanze maisha usijitie tabu bure by the way wanasema wenyewe 'Utamaliza bucha nyama ni ileile'
Hapo ni Somaliland na siyo Mogadishu, Somalia. Wao wana amani tofauti na wenzao wa Mogadishu.
Na hapo ni sokoni wanabadilisha fedha, kama sisi huku kwenye bureau de change.
Huko hakuna wizi, mafedha yote hadharani na amani tele.
Hahahahahaaaa John Ezekiel wasiwasi wako tu, yeye ndio aliuliza. Nimejaribu kufanya hivyo apate taarifa kishajibiwa, hakuna la zaidi. Nawewe hapa si bure hahahahaaa
Lakini kwa bahati mbaya nchi nyingi haziitambui. Hivyo kila mtu lazima awe na passport mbili ya Somalia na Somaliland. Hata jumuia za kimataifa lazima zipate go ahead ya Somalia ili ziweze kufanya kazi Somaliland. Hata hapa TZ hatuitambui Somaliland Officially.
Hahahahahaaaa John Ezekiel wasiwasi wako tu, yeye ndio aliuliza. Nimejaribu kufanya hivyo apate taarifa kishajibiwa, hakuna la zaidi. Nawewe hapa si bure hahahahaaa
hata...kijana wa watu nimeshangaa tu kwnn u cc, angekuwa mwanaume ndio ana cc hata nisingeshangaa maana ni moja ya principal ya kuvua samaki humu jamvini