Hapo ni Somaliland na siyo Mogadishu, Somalia. Wao wana amani tofauti na wenzao wa Mogadishu.
Na hapo ni sokoni wanabadilisha fedha, kama sisi huku kwenye bureau de change.
Huko hakuna wizi, mafedha yote hadharani na amani tele.
Hapo ni Somaliland na siyo Mogadishu, Somalia. Wao wana amani tofauti na wenzao wa Mogadishu.
Na hapo ni sokoni wanabadilisha fedha, kama sisi huku kwenye bureau de change.
Huko hakuna wizi, mafedha yote hadharani na amani tele.
Hahha karibu sana lakini sharti uwe na mwenyeji au utalala jela kwani wananchi wote ni polisi jamii ukiingia mwananchi ana haki ya kukuhoji we ni nani ukizingua unapelekwa ndani