Hivi mwenye uamuzi wa kubeba mimba ni mwanamke au mwanaume?????kama mwanamke hajawa tayari kubeba mimba anajua afanyeje, nadhani ilitokea kama bahati mbaya kushika ujauzito sasa jamaa anaona eti yeye ndo ali plan. Au inakuwaje hapa maana huwa siwaelewi wanaume wanavyo sema hivyo!!!!!!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums