Wanaume ndio mnasababisha wanawake wajione hivyo. Mnawachambua kupita kiasi. Mwalimu wangu mmoja alisema kwamba wanawake wanajipamba ili waonekane kwa wanaume na wazalishwe. Alitoa mfano wa polination. Kwamba kila mmea unatoa maua ya aina yake kuvutia wadudu wa aina zao wanaovutiwa na aina ya maua hayo ili wakienda pale wapate kuendeleza polination. Kama wadudu hawaendi kwenye maua hayo basi mimea itapotea duniani. Nao wanawake vivyo, reception ni muhimu ili mwanaume fulani avutike na kwenda kuendeleza kizazi. Otherwize no chemistry between the two opposite sex no reproduction and therefore human extinction. Uliho nkoi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.