Inasemwa kuwa ugonjwa wawatoto wenye vichwa vikubwa husababishwa na mama/mtoto kukosa FOLIC ACID, nafolic acids hupatikana sana kwenye MBOGA MBOGA naMATUNDA,
##kwanini waathiriwa/wagonjwa wengi wenye vichwa asilimia kubwa wanatoka vijijini, hali yakuwa wao niwatumiaji wakubwa sana wa MBOGA MBOGA na MATUNDA??? ##