Hii ni kwa wote

Hii ni kwa wote

Nicodemas Tambo Mwikozi

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2016
Posts
663
Reaction score
1,047
*Nimenakili mahali;*

Asubuhi mume alimuuliza mke wake, ulilala wapi? Mke akajibu amelala kwa rafiki yake wa kike. Mume akawapigia simu rafiki wa mke wake 10, lakini wote walikataa hakulala kwao.

Siku ya pili mume alilala nje, asubuhi aliulizwa na mkewe ulilala wapi? Mume alijibu nimelala kwa rafiki yangu wa kiume. Mke akawapigia rafiki wa mume wake 10. Rafiki 8 walikubali kuwa alilala kwao.

Cha ajabu ni kuwa wawili waliobaki walidai kuwa hadi wakati wanaongea na simu mume wake bado yupo kwao. Hiyo ndo tofauti ya wanawake na wanaume. Wanawake hawatunziani siri labda kwa masharti. Wanaume wako tayari kutunziana siri hata kama hawajaambiwa. Hata kama hawajui chochote kuhusu hiyo siri.

 
Nilikuwa na mshkaji wangu na mchepuko wake sehem flan mara wife wake akaja, mbona ilibidi mim ndo nimvae mchepuko kama mhusika na wife hakugundua hadi akatuacha..
Wabaya sana nyinyi watu..., halafu alivyowaacha mkaanza kumcheka na kupongezana..
 
Aisee mpk sa 2 asbh mr hajarud home sim apokei kumpgia rfk ake anasema yupo gareje shem anakuja mda si mref gereji ya asbh naona alinijbu tu kuniridhisha na vile nimemshkiza bas mr naye anakomaa mpk leo alilala gerej uwa nawaitkia tu ila wanaume shikamoonii aisee
 
Nilisahau simu bar, gelofrendi naye akapita hapo bar wakati anakuja kwangu, akawakuta washkaji niliowaacha hapo wako na simu yangu. Akaomba wampe aniletee, jamaa walimkatalia kata kata!! Ile simu ilikodiwa taxi mida ya saa tano hivi usiku. Kile kitendo gelofrendi alishindwa hata namna ya kukielewa
Hahahahaaaa nimecheka sana aisee
 
Mungu Ametupa Uelewa wa kujiongeza sisi wanaume. Always tuko vizuri.... Hahaha napenda thread kama hizi
 
Back
Top Bottom