Hii ni kwa wenye ndoa tu!

Hii ni kwa wenye ndoa tu!

Konzogwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2008
Posts
434
Reaction score
164
Hebu tupia hapa ni wapi ulikutana na mwenzi wako mkifanya nini na mkakubaliana kuoana.
 
nilikutana nae centara hat yai hotel thailand kwa mara ya kwanza ingawa sikumshobokea hata kidogo ila kutoka hapo mawasiliano yakadumu, tulikuja kukubaliana kuoana baada ya miaka miwili ya urafiki katika hotel ya south beach kigamboni ndipo tulipofanya mazungumzo ya kuungana, basi tukaoana na niko nae mchizi wangu mpaka sasa
 
Wangu tulikutana airport nikiwa mfanyakazi wa hapo miaka mingi iliyopita na yy alikuwa anasafiri akaniomba namba ya simu nikamjibu kwa jeuri "nina watu kama mia wanataka namba ya simu na sijawapa so subiri zamu yako itakapofika..alinyweaa baada ya jibu langu
But baada ya siku 3 akanipigia simu kwamba alinunua namba yangu toka kwa mmoja wa staff mwwnzangu
Baada ya hapo mwanzo wa mawasiliano mpk ndoaaa
 
wanawake tuna midomo wallahi mi nilimwambiaga sipendi mijanaume ya kizungu tena kwa dharau, yaani midomo hii kamka tumerogwa ndiyo niko nae kaka wa watu mpole balaa
 
Ha! Masai Dada kumbe na wewe bado! Basi tuoane halafu tuweke kumbukumbu hapa hapa ndo tumekutania tukichangia thread ya wenye ndoa.

yuko mnyamwezi wangu wewe

hivi unazani kuoa ni uzi kila mtu anaeza post?
 
Wangu tulikutana airport nikiwa mfanyakazi wa hapo miaka mingi iliyopita na yy alikuwa anasafiri akaniomba namba ya simu nikamjibu kwa jeuri "nina watu kama mia wanataka namba ya simu na sijawapa so subiri zamu yako itakapofika..alinyweaa baada ya jibu langu
But baada ya siku 3 akanipigia simu kwamba alinunua namba yangu toka kwa mmoja wa staff mwwnzangu
Baada ya hapo mwanzo wa mawasiliano mpk ndoaaa
Aisee nimeipenda hii
Huyo mkeo ana mapenzi ya kweli kabisa kwako!
Lazima umuombe msamaha kwa majibu mabaya uliyompa mwanzoni.
 
nlikutana nae kwenye basi natoka safari ya kikazi mkoani kama 1 month ago hivi,mtoto mmoja mbichi whiteeee..
 
Back
Top Bottom