mangi waukweli
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 246
- 27
Mambo yeno mm ni mhitimu wa chuo kikuu nina degree ila nipo hapa mjini kwa lengo moja tu yani kutafuta kibarua so nimefikia kwa rafikiyangu mmoja maeneo ya sinza ndiyo nakaa nae ni mwezi sasa naishi nae illa tumeanza kutoautiana maana hakuna privacy jamaa akija na demu wake inabidi nilale sebuleni sasa maisha haya yamenishinda na nimekuja na gari langu limekua ndiyo kama la kwake na kutafutia mademu maana wakati mwengine nina wese la kuweka kwenye gari inabidi niwe mpole sasa nimeamua nibadilishe mbinu ya kuishi town natafuta mdada ambaye yupo alone anaishi pekeyake ili nikae nae kwa muda huu wa kusaka kibarua nitakua nampeleka kazini na kwenye mizunguko yake na gari langu litakua kama lake na fadhila yake kwangu mimi ni kuishi nae tu naomba madada wanao kaa mjini ambaye yupo tayari pls ani pm namba yake ya simu tuwasiliane am good looking ila kwasababu sina kazi kau handsome kamefifia kidogo
UPDATES
michango ilikua mizuri wengi wametoa ushauri wa kujenga ila kwa reserch hii niliyoifanya nimegundua kwamba wanaume wengi wanaogopa kuchapiwa mademu zao na wana hofu sana na vijana wasiokua na ajira kujishikiza kwa madada wanaowagaramia
PIA KATIKA DODOSO LANGU HILI NIMEGUNDUA KUWA KUMBE KUNA WATANZANIA WENGI WANA MAWAZO YA KUJENGA ILA HAWAYATUMII IPASAVYO BADALA YAKE WANALETA USHABIKI. asanteni kwa kushiriki
UPDATES
michango ilikua mizuri wengi wametoa ushauri wa kujenga ila kwa reserch hii niliyoifanya nimegundua kwamba wanaume wengi wanaogopa kuchapiwa mademu zao na wana hofu sana na vijana wasiokua na ajira kujishikiza kwa madada wanaowagaramia
PIA KATIKA DODOSO LANGU HILI NIMEGUNDUA KUWA KUMBE KUNA WATANZANIA WENGI WANA MAWAZO YA KUJENGA ILA HAWAYATUMII IPASAVYO BADALA YAKE WANALETA USHABIKI. asanteni kwa kushiriki