Mi nafikiri ugefanya uchunguzi kwanza kwa akina dada ndo wangeweza kusema kwamba wanaumia au vipi, kazi ya mwanaume ni kumuridhisha mpenzi wake kwanza ndo yeye afuate. kama mwanamke anafika kileleni zaidi ya mara mbili katika tendo moja kwa nin i usiendelee na hiyo staili ya kumuchana msamba. Na ninavyojua mapenzi niya wazi kwa watu wote kwa maana kwamba kila mtu yuko huru kumwambia mwenzi wake kwamba hii styl ni ngumu kwake au anaumia. Hili tuwaachie wadada waseme<br><br>