MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 561
Wewe mwanaume unayejidanganyana hayo ma Movie ya X unayoangalia huko kisha unakuja kufanyia mazoezi kwa mtoto wa watu acha huo ujinga.
MARA umnyanyue mguu juu, mara umchanishe msamba huko, unambinua kama mcheza kungfu.
SIKIA wale wasichana ulioona kwenye hizo filamu wapo kazini aisee na wamefanya mazoezi kabla ndo maana unawaona wanajitanua bila wasiwasi.
Wewe unaenda kwa msichana ambaye hana hata mazoezi unamtanua halafu unajifanya wewe unajua mapenzi.
Ujinga mkubwa haiwezekani umfanye msichana kama mdoli aisee.
Anaweza asikwambie kuwa anaumia lakini amini kuwa hapati raha yoyote unamtesa tu bure.
Nanyie wasichana mambo ya kujiliza liza hovyo kama yale masichana ya kwenye filamu za X muache, yaani ukiguswa kidogo tu'oooosh!!"hisia gani hizo unaguswa nywele unasisimuka, unaguswa kucha unapiga makelele.
MARA umnyanyue mguu juu, mara umchanishe msamba huko, unambinua kama mcheza kungfu.
SIKIA wale wasichana ulioona kwenye hizo filamu wapo kazini aisee na wamefanya mazoezi kabla ndo maana unawaona wanajitanua bila wasiwasi.
Wewe unaenda kwa msichana ambaye hana hata mazoezi unamtanua halafu unajifanya wewe unajua mapenzi.
Ujinga mkubwa haiwezekani umfanye msichana kama mdoli aisee.
Anaweza asikwambie kuwa anaumia lakini amini kuwa hapati raha yoyote unamtesa tu bure.
Nanyie wasichana mambo ya kujiliza liza hovyo kama yale masichana ya kwenye filamu za X muache, yaani ukiguswa kidogo tu'oooosh!!"hisia gani hizo unaguswa nywele unasisimuka, unaguswa kucha unapiga makelele.