Hii ni Kejeli au ndio ukweli wenyewe...?

Kibunango

Platinum Member
Aug 29, 2006
8,420
2,271
The US, China and many European countries have sent in planes, ships and ferries to help people flee.

Thousands of people, many of them African migrants, have also poured across Libya's land borders, in vans piled high with furniture and luggage

BBC News
 
it can be both!
Nakumbuka baada ya kwisha kwa vita vya TZ na Uganda, wanajeshi wa TZ walipokuwa wakirudi home magari yao yalisheheni mizigo mingi sana... toka huko Uganda!...(Sweeping?)
 
haya,kwa wale mnaotaka kuja ulaya kwa kujilipua(ukimbizi)njia hiyoooooooo, tafua nauli tu ya kwenda libya.
onyo: make sure unajua kiarabu.
principal 1: kama haujui kiarabu jifanye bubu.
prncipal 2: kama haujui kuwasiliana ki bubu, jifanye umepata shock kwahiyo hauwezi kuongea wala hausikii.
gud luck:wink2:
 
Inawezekana ikawa ni hiyo "sweeping", lakini tusiangalie upandae mmoja tu, wizi au ubaya wa Waafrika. Fikiria mtu aliyekaa pale miaka kibao, kwa lengo la kujinasua maisha, haiwezekani baada ya kutokea yanayotokea akaondoka na kila anachoweza kukibeba?
 
Back
Top Bottom