BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 921
- 2,243
Kuna girl nmeanza kudate nae ni almost miezi miwili hiv...!!ni nesi wa hosptal fulan wilaya flan....!!ila mpk sasa tupo kwenye hatua za kuonana tu kwa ajil ya ubze wake...ila tangu nmekuwa nae magonjwa hayaniachi...hata yeye pia anaumwa pia baada ya kuwa na mahusiano nami...!!kuna siku nlmkiss tu asubuh nliamka kichwa kinauma...jicho moja jekundu...!!mwili unauma woote...!!kikohozi na mafua juu.....!!hii ni kawaida au kuna sign naonyeshwa...??...hapo ujue n yeye anadai anaumwa pia



