D Dik JF-Expert Member Nov 15, 2011 1,204 416 Nov 25, 2011 #1 Inawezekana kuoa/kuolewa kabla ya kufanya mapenzi?kuna madhara/faida gani?
Sordo JF-Expert Member Nov 14, 2011 396 122 Nov 25, 2011 #2 Kimaadili ya kiroho ni sawa na hakuna madhara yoyote
M Mike 1234 JF-Expert Member Feb 23, 2009 1,633 154 Nov 25, 2011 #3 sina uhakika wa madhara ila kiroho au kidini imekatazwa kabisa ni mwiko kutenda bila ndoa
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,556 Nov 25, 2011 #4 kweli wewe ni dik unamaana unataka kujua inamadhara gani utaduu sana kwa muda mwingi kila ukimuona tu wewe unataka kuduu naye..
kweli wewe ni dik unamaana unataka kujua inamadhara gani utaduu sana kwa muda mwingi kila ukimuona tu wewe unataka kuduu naye..
Bishanga JF-Expert Member Jun 29, 2008 15,323 10,063 Nov 25, 2011 #6 unajua maana ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia?