Hii ni aibu kubwa saana, uendapo chooni safisha choo

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
17,456
21,167
Kuna vitu vingine ni vya aibu sana mtu mzima ukivifanya utaibika.

Leo nimeenda chooni huku chuoni kwetu basi bhaana kuna mtu kajisaidia haja kubwa yananuka ile kisela lakini hajaaflash wala nini na mbaya zaidi vyoo vyenyewe ndo vile vya kukaa.

Nimesikia kinyaa kisheenzi hapa nilipo mpaka tumbo linaniuma kwa harufu kali nilioipata
Jamani jitahidini usafi,ukinya safisha choo vizuri utaaibika ugenini maana mazoea hujenga tabia
 
Thread yako ingekua na mantiki endapo ungelitafuta namna nzuri ya kuiwasilisha Mkuu. Ungesema tu kuwa watu wamwage maji au kuflash wamalizapo zoezi la kujisaidia.

Kuja kutuambia ya chuoni kwenu bila kutaja jina ila wahusika wajijue hakuna maana yeyote.
 
Kuna vitu vingine ni vya aibu sana mtu mzima ukivifanya utaibika.

Leo nimeenda chooni huku chuoni kwetu basi bhaana kuna mtu kajisaidia haja kubwa yananuka ile kisela lakini hajaaflash wala nini na mbaya zaidi vyoo vyenyewe ndo vile vya kukaa.

Nimesikia kinyaa kisheenzi hapa nilipo mpaka tumbo linaniuma kwa harufu kali nilioipata
Jamani jitahidini usafi,ukinya safisha choo vizuri utaaibika ugenini maana mazoea hujenga tabia
Ungebandika tangazo kwenye hicho choo chenu cha shule ingewasaidia.
 
Back
Top Bottom