Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kwahiyo yupo ccm? Mbona unaongea mambo kama chei chei ?Kusini hakuna wapinzani. Huyo Cecil alikuwa CCM hadi hatua ya mwisho ambapo jina lake lilikatwa kwa kumlinda mtu fulani. Ndio maana huwezi kumsikia Cecil akifanya siasa za maji taka na kuna taarifa kuwa 2020 anarudi CCM