Hii ndiyo nguvu ya soda iliyochanganywa na gongo

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,960
2,942
Kama Kuna watanzania walidhani anawatania nawasihi wabadili mtazamo hii fukuzafukuza haitaisha wala kesho.

Jambo la msingi ni kafunga mkanda na kukubaliana na Hali maisha yaendelee Rais katuambia si nguvu ya soda tu Bali imechanganyika na gongo.
 
Mbona tulishamwelewa zaman sana, ila tu kuna mijinga michache yenye akili za kushikiwa ndio haijamwelewa magufuli inapelekeshwa na akili za form six pamoja na zombie la kimasai. Acha waendelee na drama zao watamwelewe tu
 
Majipu yatatumbuliwa tu hata kama watachinga sana UKAWA
Ukawa wanatokea wapi hapo wakati wanaokamuliwa wote ni products za Msoga? Au na mzee wa Msoga naye Ukawa?
Acheni kujivua ufahamu,hata hao wafanya biashara wezi wa makonteina na mafuta ofisi zao zinepambwa na picha za Wakurugenzi wao na JK au Pinda sasa utasemaje maumivu ni Ukawa wakati kwa miezi hii mitatu daftari la mchango pale kwa Kinana halijaingiza kitu?
Magu anawaua huku anawatekenya
 
Majipu yatatumbuliwa tu hata kama watachinga sana UKAWA
kwa kwa kwi kwi serikali ya ccm iliyoshindwa tena sana kwa uthibitisho wa magufuli mlamba viatu wa mwana wa mfalme unajitia mwehu kutaja UKAWA mwana ukawa yupi kavuliwa nguo kama Kikwete na kinana wanavyovuliwa nguo na mwana ccm mwenzao wanaothibitisha kile ukawa walichokuwa wanasema serikali ya ccm ni uozo acha kuchonga wewe vile msukuma mwenzako alikutaja kwa wana ccm basi umevimba kichwa kama unalo la maana lolote kumbe laana ya kumpiga warioba inakufata
 
kwa kwa kwi kwi serikali ya ccm iliyoshindwa tena sana kwa uthibitisho wa magufuli mlamba viatu wa mwana wa mfalme unajitia mwehu kutaja UKAWA mwana ukawa yupi kavuliwa nguo kama Kikwete na kinana wanavyovuliwa nguo na mwana ccm mwenzao wanaothibitisha kile ukawa walichokuwa wanasema serikali ya ccm ni uozo acha kuchonga wewe vile msukuma mwenzako alikutaja kwa wana ccm basi umevimba kichwa kama unalo la maana lolote kumbe laana ya kumpiga warioba inakufata
Bila UKAWA msingempata magufuli mnayemuona anafaaa
 
Yule mzee dr,dhaifu wa msoga ndie Mmiliki wa kiwanda cha Majipu na udhaifu wa waTZ..hawa wengine ni product tuu..
 
Back
Top Bottom