The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Wakuu mnaonaje kuteuliwa kwa mhe. Mwigulu Nchemba kushika nafasi ya unaibu waziri wa fedha?
Licha ya mhe. Nchemba kuwa na taaluma inayohusiana na masuala ya fedha, lakini anaonekana ana experience kubwa na masuala ya usalama. hivyo kwa mimi binafsi napendekeza huyo mhe. apelekwe wizara ya mambo ya ndani, tena akaimu nafasi ya waziri kamili.
Nawasilisha.
Licha ya mhe. Nchemba kuwa na taaluma inayohusiana na masuala ya fedha, lakini anaonekana ana experience kubwa na masuala ya usalama. hivyo kwa mimi binafsi napendekeza huyo mhe. apelekwe wizara ya mambo ya ndani, tena akaimu nafasi ya waziri kamili.
Nawasilisha.