Unafananisha technology tofauti, broadband na 4g, broadband is cheap in any country. And that was TTCL window to outperform everyone... 4g is newer, wireless and expensive in any country.
Umetumia USA, I'll use the same example but with a 4g LTE provider, AT&T gives u 6GB for $80, u can have a shared plan ya 50gb na calls and text for $375. If you do the math smile is cheaper in that aspect compared to service that use the same technology.
EDIT: and for every extra 1gb u pay $10(on prepaid). I just don't get people complaining about SMILE wakati ni pricig trend ya dunia nzima for the technology... Just deal with it.
Hapo kwenye red naweza kusema ni same technology ya 4G lakini 4G kama 4G ina categories zake
Navyojua SMILE wanatumia LTE FDD 800MHz na ni Category 3(CAT3) wakati kuna makampuni mengine yame employ LTE ya TDD 2300/2600 MHz ambayo ni CAT4 na mengine yame employ mpaka CAT5,sasa nafikiri makampuni yote ni 4G lakini lazima ujue kwamba yana-employ 4G katika Category,Bands na Frequency tofauti tofauti na bila shaka bei haiwezi kua moja by the fact that 4G is divided as pointed out above
Nikufuru siku zote kulinganisha US na Bongo...Jiulize Coca cola uko kwao wanauza bei gani na hapa kwetu ikoje?
I guess the same will apply on internet also regrdless of AT&T using a different 4G technology from that of Smile
Kumbe basi ni bora kufananisha 4G ya Vodacom south Africa au 4G ya MTN UG amabazo bado naona ziko juu ya smile in terms of technology used...
Ukweli utabaki kwamba hawa Smile ni wezi tu kuanzia Bundle zao na Modem/router zao tu
Ningewaona wamaana wangetumia devices za Huawei na ZTE au Alcatel ambazo unaweza pata mpaka Universal modems/routers naku-switch kutoka network moja kuja nyingine as the fact kwamba soon Vodacom nao walivyotangaza watafanya roll out nakuleta 4G hivo unakua na uhuru waku-switch in either way around
wisho kabisa,Smile nimetumia ila speed yao ya ku-download haikuni-impress sana nilikua napata 2.5MB/sec n kushuka chini abayo same speed napata na
#DC_HSPA + ya Airtel rated at 42Mbps zaidi katika Uploading files ndo naona tofauti ila nikitumia Google maps na Youtube streaming sikuona tofauti mara zote,if there difference existed in all my test is a slight diffrence
Category 3 ya 4G ni LTE FDD 800/1800/2600Mhz ambako highest frequency ni 2600Mhz na lowest ni 800
Smile wanatumia 800Mhz I really doubt this issue and I guess it must be having effect in regard to perfomance,labda mtu anieleweshe kidogo hapo umuhimu wa hzi frequency