Kama atasema acha kazi na nafsi yako ikafurahi haina shida ila akisema acha kazi wewe binafsi ukasononeka huyo sio! mfano yawezekana kazini unanyanyasika akikwambia acha huko na akakupa good alternative hiyo sio mbaya lakini acha ukamsaidie kufanikisha ndoto na malengo yake!! inatisha kwenye muundo wa ubongo wake!