Hii ndio namna pekee ya Tanzania na Afrika kuondokana na umaskini

Cicero

JF-Expert Member
Jan 20, 2016
2,924
3,072
Nimekuja kugundua kitu kimoja. Ukiangalia mataifa yote yaliyoendelea, kuna product ambazo huwezi zikosa kwenye top 3 ya exports zao. Tizama top exports za:
Marekani: Bidhaa za kula na vinywaji, mafuta, ndege, magari
China: Machinery, furniture, magari
Italy: Magari
Japan: Magari
Germany: Magari
France: Magari
UK: Magari
S.Korea: Magari
WHAT DOES ALL THIS TELL YOU?
Ina maana Afrika nzima (au hata Afrika Mashariki tu) tukishirikiana tunashindwa kweli kuwa na manufacturing industry nzuri ya magari? The key is to make a product that is competitive globally. Na tuna soko kubwa la ndani pia ambalo bado halijawa fully tapped.

Niliwahi kukutana na mjapan mmoja akaniuliza kama nchi yetu ina mpango wa kuja kutengeneza magari. Nikamjibu hapana akashangaa sana. "Hamjui kwamba magari ndio product inayoweza kuwatoa kwenye umaskini?"
 
Duuuu kwa kweli umeenda mbali sana, solution ya foleni tu inatusumbua hv sasa Je, kuunda hayo magari kweli inawezekana?
 
Nimekuja kugundua kitu kimoja. Ukiangalia mataifa yote yaliyoendelea, kuna product ambazo huwezi zikosa kwenye top 3 ya exports zao. Tizama top exports za:
Marekani: Bidhaa za kula na vinywaji, mafuta, ndege, magari
China: Machinery, furniture, magari
Italy: Magari
Japan: Magari
Germany: Magari
France: Magari
UK: Magari
S.Korea: Magari
WHAT DOES ALL THIS TELL YOU?
Ina maana Afrika nzima (au hata Afrika Mashariki tu) tukishirikiana tunashindwa kweli kuwa na manufacturing industry nzuri ya magari? The key is to make a product that is competitive globally. Na tuna soko kubwa la ndani pia ambalo bado halijawa fully tapped.

Niliwahi kukutana na mjapan mmoja akaniuliza kama nchi yetu ina mpango wa kuja kutengeneza magari. Nikamjibu hapana akashangaa sana. "Hamjui kwamba magari ndio product inayoweza kuwatoa kwenye umaskini?"
Kweli kabisa unafikiria tuunde magari? Afrika mashariki ndio yatutoe kwenye umasikini. Nadhani umefikiria kijapani zaidi
 
Kweli kabisa unafikiria tuunde magari? Afrika mashariki ndio yatutoe kwenye umasikini. Nadhani umefikiria kijapani zaidi
Mimi nadhani Afrika kuunda magari tukiamua tunaweza. Afrika ya leo sio ile ya enzi hizo ujuzi tunao nia tu ndo tumekosa
 
Nimekuja kugundua kitu kimoja. Ukiangalia mataifa yote yaliyoendelea, kuna product ambazo huwezi zikosa kwenye top 3 ya exports zao. Tizama top exports za:
Marekani: Bidhaa za kula na vinywaji, mafuta, ndege, magari
China: Machinery, furniture, magari
Italy: Magari
Japan: Magari
Germany: Magari
France: Magari
UK: Magari
S.Korea: Magari
WHAT DOES ALL THIS TELL YOU?
Ina maana Afrika nzima (au hata Afrika Mashariki tu) tukishirikiana tunashindwa kweli kuwa na manufacturing industry nzuri ya magari? The key is to make a product that is competitive globally. Na tuna soko kubwa la ndani pia ambalo bado halijawa fully tapped.

Niliwahi kukutana na mjapan mmoja akaniuliza kama nchi yetu ina mpango wa kuja kutengeneza magari. Nikamjibu hapana akashangaa sana. "Hamjui kwamba magari ndio product inayoweza kuwatoa kwenye umaskini?"

Hatuko serious hata Kidogo.
Hivi katika pita pita yako umepata kuona hizi treka kama ngapi nchi hii?


MATUKIO @ MICHUZI BLOG: shamra shamra za kuhitimisha maonesho ya ...
matukio @ michuzi blog
Ubunifu wa CAMARTEC
 
Nimekuja kugundua kitu kimoja. Ukiangalia mataifa yote yaliyoendelea, kuna product ambazo huwezi zikosa kwenye top 3 ya exports zao. Tizama top exports za:
Marekani: Bidhaa za kula na vinywaji, mafuta, ndege, magari
China: Machinery, furniture, magari
Italy: Magari
Japan: Magari
Germany: Magari
France: Magari
UK: Magari
S.Korea: Magari
WHAT DOES ALL THIS TELL YOU?
Ina maana Afrika nzima (au hata Afrika Mashariki tu) tukishirikiana tunashindwa kweli kuwa na manufacturing industry nzuri ya magari? The key is to make a product that is competitive globally. Na tuna soko kubwa la ndani pia ambalo bado halijawa fully tapped.

Niliwahi kukutana na mjapan mmoja akaniuliza kama nchi yetu ina mpango wa kuja kutengeneza magari. Nikamjibu hapana akashangaa sana. "Hamjui kwamba magari ndio product inayoweza kuwatoa kwenye umaskini?"

Sisi wala huko hakuna haraka sana! Kilimo na mifungo na maboresho ya Yatokanayo na bidhaa zake yanatutoa sana kiuchumi. Ukiongezea hapo na Madini basi hayo magari yatafuatia tena bila nguvu maana wakati huo nguvu ya wanunuzi ni kubwa.(Uchumi wa Kati)
 
Nimekuja kugundua kitu kimoja. Ukiangalia mataifa yote yaliyoendelea, kuna product ambazo huwezi zikosa kwenye top 3 ya exports zao. Tizama top exports za:
Marekani: Bidhaa za kula na vinywaji, mafuta, ndege, magari
China: Machinery, furniture, magari
Italy: Magari
Japan: Magari
Germany: Magari
France: Magari
UK: Magari
S.Korea: Magari
WHAT DOES ALL THIS TELL YOU?
Ina maana Afrika nzima (au hata Afrika Mashariki tu) tukishirikiana tunashindwa kweli kuwa na manufacturing industry nzuri ya magari? The key is to make a product that is competitive globally. Na tuna soko kubwa la ndani pia ambalo bado halijawa fully tapped.

Niliwahi kukutana na mjapan mmoja akaniuliza kama nchi yetu ina mpango wa kuja kutengeneza magari. Nikamjibu hapana akashangaa sana. "Hamjui kwamba magari ndio product inayoweza kuwatoa kwenye umaskini?"
Ghana wenzetu wanatengeneza magari yao sisi sijui lini!?
 
Duuuu kwa kweli umeenda mbali sana, solution ya foleni tu inatusumbua hv sasa Je, kuunda hayo magari kweli inawezekana?
Umefanya nifikiri mara kumi zaidi; iko hivi

Magari kwa sas bongo ni mengi sana,hiyo ni michango tu tuliyoitoa kwa viwanda vya ulaya na kwingineko
sasa, tuagize magari robo ya watanania, na matrekta ivoivo, tuyabadili muundo wake, tuyafumue upya, tuondoe elements zinazochakaza magari, tuweke madini durable km yale yaliyotumika kutengeneza Bed Ford ya zamani, na Land rover 109 za nyerere, changanya na madini yenye Gold kidogo;
vyombo hivi vitadumu hata karne 29, tutakuwa tunauziana humuhumu,

Lakini tuwe wakorofi kupindukia dhidi ya ngozi nyeupe, wasje tumbukiza sumu kama Libya. hasa wakigundua tunavyofanya. wasije kufa njaa.
 
Umaskini hauwezi kwisha Afrika, wakiuondoa watawala watatudanga nini kwenye kampeni za kutaka kujaza matumbo yao na family zao? Lazima tuwe na majanga ili watudanganye watayatatua...
 
Umefanya nifikiri mara kumi zaidi; iko hivi

Magari kwa sas bongo ni mengi sana,hiyo ni michango tu tuliyoitoa kwa viwanda vya ulaya na kwingineko
sasa, tuagize magari robo ya watanania, na matrekta ivoivo, tuyabadili muundo wake, tuyafumue upya, tuondoe elements zinazochakaza magari, tuweke madini durable km yale yaliyotumika kutengeneza Bed Ford ya zamani, na Land rover 109 za nyerere, changanya na madini yenye Gold kidogo;
vyombo hivi vitadumu hata karne 29, tutakuwa tunauziana humuhumu,

Lakini tuwe wakorofi kupindukia dhidi ya ngozi nyeupe, wasje tumbukiza sumu kama Libya. hasa wakigundua tunavyofanya. wasije kufa njaa.
Hatuwezi wazungu
 
Sisi wala huko hakuna haraka sana! Kilimo na mifungo na maboresho ya Yatokanayo na bidhaa zake yanatutoa sana kiuchumi. Ukiongezea hapo na Madini basi hayo magari yatafuatia tena bila nguvu maana wakati huo nguvu ya wanunuzi ni kubwa.(Uchumi wa Kati)
Ukisoma historia ya magari ya Volkswagen nahisi ni kwamba tutengeneze magari ya kwetu ambayo wabongo walio wengi wanaweza kumudu gharama zake
 
Nimekuja kugundua kitu kimoja. Ukiangalia mataifa yote yaliyoendelea, kuna product ambazo huwezi zikosa kwenye top 3 ya exports zao. Tizama top exports za:
Marekani: Bidhaa za kula na vinywaji, mafuta, ndege, magari
China: Machinery, furniture, magari
Italy: Magari
Japan: Magari
Germany: Magari
France: Magari
UK: Magari
S.Korea: Magari
WHAT DOES ALL THIS TELL YOU?
Ina maana Afrika nzima (au hata Afrika Mashariki tu) tukishirikiana tunashindwa kweli kuwa na manufacturing industry nzuri ya magari? The key is to make a product that is competitive globally. Na tuna soko kubwa la ndani pia ambalo bado halijawa fully tapped.

Niliwahi kukutana na mjapan mmoja akaniuliza kama nchi yetu ina mpango wa kuja kutengeneza magari. Nikamjibu hapana akashangaa sana. "Hamjui kwamba magari ndio product inayoweza kuwatoa kwenye umaskini?"
Mpendwa Ndg. Mbona Kenya Kuna viwanda vya magari; trailor, Lorry Ma Basi NK nk ..!!? Lakini MwaAfrika hanunui kwa Mbantu mwenzie ..!!
MK254
 
Umefanya nifikiri mara kumi zaidi; iko hivi

Magari kwa sas bongo ni mengi sana,hiyo ni michango tu tuliyoitoa kwa viwanda vya ulaya na kwingineko
sasa, tuagize magari robo ya watanania, na matrekta ivoivo, tuyabadili muundo wake, tuyafumue upya, tuondoe elements zinazochakaza magari, tuweke madini durable km yale yaliyotumika kutengeneza Bed Ford ya zamani, na Land rover 109 za nyerere, changanya na madini yenye Gold kidogo;
vyombo hivi vitadumu hata karne 29, tutakuwa tunauziana humuhumu,

Lakini tuwe wakorofi kupindukia dhidi ya ngozi nyeupe, wasje tumbukiza sumu kama Libya. hasa wakigundua tunavyofanya. wasije kufa njaa.
Bongo magari ata sio mengi. Zikihesabiwa nchi zenye magari mengi per capita hatupo ata kwenye 100 bora nahisi
 
Nimekuja kugundua kitu kimoja. Ukiangalia mataifa yote yaliyoendelea, kuna product ambazo huwezi zikosa kwenye top 3 ya exports zao. Tizama top exports za:
Marekani: Bidhaa za kula na vinywaji, mafuta, ndege, magari
China: Machinery, furniture, magari
Italy: Magari
Japan: Magari
Germany: Magari
France: Magari
UK: Magari
S.Korea: Magari
WHAT DOES ALL THIS TELL YOU?
Ina maana Afrika nzima (au hata Afrika Mashariki tu) tukishirikiana tunashindwa kweli kuwa na manufacturing industry nzuri ya magari? The key is to make a product that is competitive globally. Na tuna soko kubwa la ndani pia ambalo bado halijawa fully tapped.

Niliwahi kukutana na mjapan mmoja akaniuliza kama nchi yetu ina mpango wa kuja kutengeneza magari. Nikamjibu hapana akashangaa sana. "Hamjui kwamba magari ndio product inayoweza kuwatoa kwenye umaskini?"

Switzerland hawatengenezi magari, same as Norway, Australia, New Zealand na Luxemburg. Lakini nchi zote hizo ni tajiri sana tu.
Tiba ya umaskini wetu ni mambo matatu tu:
1 Education
2. Education
Na
3. Education.
Unfortunately; ccm hawawezi kuipa elimu kipaumbele maana the day an average Tanzanian gets a decent education ndio utakuwa MWISHO wao.
 
Switzerland hawatengenezi magari, same as Norway, Australia, New Zealand na Luxemburg. Lakini nchi zote hizo ni tajiri sana tu.
Tiba ya umaskini wetu ni mambo matatu tu:
1 Education
2. Education
Na
3. Education.
Unfortunately; ccm hawawezi kuipa elimu kipaumbele maana the day an average Tanzanian gets a decent education ndio utakuwa MWISHO wao.
Hizo nchi zote ulizotaja hapo sio industrial powerhouses. Huwezi linganisha New Zealand na South Korea kwa mfano!
 
Wagunduzi wengi wa vitu hawapewi vipaumbele na wengine wanapewa na kesi imagine!
 
Back
Top Bottom