Hii ndio mbadala wa Madawa ya kulevya

Hii ndio mbadala wa Madawa ya kulevya

MO11

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
19,553
Reaction score
41,467
Siku hizi madawa ya kulevya yanaanza kupotea ila mbadala wake hafai.

Siku hizi pombe kali za kwenye vipakiti maarufu kama viroba vimeshika na vinashika kasi kwa watumiaji hasa vijana na wanafunzi wa sekondari na vyuo. Wenyewe wanaviita vi Facebook

Yaani kila kona kila njia kila mahala hivi vinywaji vipo mbaya zaidi vinatumika muda wowote iwe asubuhi mchana au usiku wao wanakunywa tu kama huamini asubuhi pita pale karioakoo (kwa wakazi wa Dar) mtaa wa msimbazi kati ya kituo cha magari ya ubungo na tandale utaona watu saa kumi na mbili alfajiri anakunywa kiroba na kahawa.

Watu wanalewa tangu asubuhi huyu atazalisha saa ngapi ??
Halafu kuna bidhaa fake nazo zipo humohumo wanatumia tu

Yaani bia inaanza kuuzwa saa kumi ila kiroba muda wowote serikali hapa mmezuia nini ?? watu wasilewe au wasinywe bia ??

Serikali ipige marufuku utengenezwaji na uuzwaji holela wa hizi bidhaa za viroba
 
wengine wanaziita sacket.....ila bado madawa ya kulevya ni "heroin"ni hatari sanaaa kuliko kilevi chochote
 
Kwa nyakati zetu hizi na sababu lukuki za kuhalalisha kila kitu.Acha anayekunywa viroba na anywe zaidi na zaidi.Mlevi wa madawa na azidi zaidi.Mpenda ngono holela na azidi zaidi,Majambazi na mafisadi wazidi zaidi na zaidi.Wacha Mungu wazidi zaidi na zaidi. N.K, N.K!
 
Ngoja nikapige kwanza vitatu ndio nije kuchangia.....naona wenge...tu..
 
Piga ganja stiki mbili dry,viroba packit nne vya mill 200 weka na nusu kilo ya milungi hapo lazima siku iende bila wewe kujua tena ngoja niende kwa sadali maana naona hata hii stimu ya ugolo wa masai inakata
 
Piga ganja stiki mbili dry,viroba packit nne vya mill 200 weka na nusu kilo ya milungi hapo lazima siku iende bila wewe kujua tena ngoja niende kwa sadali maana naona hata hii stimu ya ugolo wa masai inakata

na sports kama kumi hivi
 
Mustakabali na misingi imara thabit isiyotingisika ya taifa lolote ujengwa kwa kilevi ya aina yeyote iwe bangi viroba mirungi na pombe kali. Ila tu isiwe madawa ya kulevya kama heroin cocaine madras hashish etc. Tuunganishe nguvu zetu kwa kujumuika pamoja katika uvutaji bangi uliotukuka na unywaji was viroba/pombe kali ili taifa letu lisonge mbele tuingize mapoto ya kutosha uchumi wetu uzid kukua na kuimarika ili tupate mafao kede kede. Marijuana is special gift for human kind!
 
Mustakabali na misingi imara thabit isiyotingisika ya taifa lolote ujengwa kwa kilevi ya aina yeyote iwe bangi viroba mirungi na pombe kali. Ila tu isiwe madawa ya kulevya kama heroin cocaine madras hashish etc. Tuunganishe nguvu zetu kwa kujumuika pamoja katika uvutaji bangi uliotukuka na unywaji was viroba/pombe kali ili taifa letu lisonge mbele tuingize mapoto ya kutosha uchumi wetu uzid kukua na kuimarika ili tupate mafao kede kede. Marijuana is special gift for human kind!

naye rais wa bolivia morales alusifiaga mmea wa coca hivyo hivyo....huku akiwa anautafuna jani lake mbele ya vyombo vya habari....mkuu
 
Mkuu viroba nitatizo tena kubwatu nadhani serikali haijaliona kamanijanga kuukwasasa. Katika vituo vya bodaboda utakuta wanavinyonya kama askirimu yaniinaonekana kama juis ya embe au mua. Ndomana ajali za bodaboda hazitapungua hadi hikikilevi kitakapo pigwa stop! Tena wengine wana wekagongo kwenye pacti ya kiroba alafu wanakunywa hadharani tu nahakuna hatuayoyote inayo chukuliwa. Soon sad.
 
Mmea ndo kila kitu,hapa nipo kwa ras namalizia kijiti changu nikipata na konyag ndogo jumapil imepita salama.....
 
Back
Top Bottom