Hii ndio massage Iliyomchekesha waifu leo mpaka nimesikia raha!

maelezo tafadhali,,,this is not a story Micha
i tu ya familia husika bali ya taifa pia![/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Sio wote Rose...
Kuna nyumba nyingi tu mazungumzo kati ya mke na mme yamekaa kijesh jesh. Ukiwaona kwenye gari utadhani askari magereza anampeleka mtuhumiwa mahakamani...

Nyumba nyingi sana wanaishi hivyo........Utakuta hata salam wanapena kwa kuviziana haswa wale wa ndoa za mkeka au waliooa au kuolewa na wazazi japo si wote
 
Last edited by a moderator:
lazima acheke umemkumbusha vitu ktk mazingira ya kawaida si rahisi kuvifanya kama kula tamutamu porini!
 

very nice, creativity always is needed in love, to neurish love.
Big up br
 

hehehe, usisahau ubakishe na ya morning glory mwayego. Hiyo ndo atatabasamu kutwa nzimaaa, hadi wamuulize.
Acha wapambe wafe na vijiba vya roho
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…