Ukiangalia hizi picha kama unayafahamu mazingira ya special schools zetu (Mzumbe, Ilboru, Kibaha, Msalato, Kilakala, Tabora boys etc) utakubali ni halali wanafunzi wa hapa kufaulu kwa kiwango hiki.
Hizo picha za mwanzo ni Feza Boys ya pale Tegeta na siyo Kaizarage, naona kuna wimbi la watu wa huyu jamaa wanaotaka kupotosha umma kwa kulaghai wananchi na matumizi ya picha za Feza. "Research before you post".
Hizo picha za mwanzo ni Feza Boys ya pale Tegeta na siyo Kaizarage, naona kuna wimbi la watu wa huyu jamaa wanaotaka kupotosha umma kwa kulaghai wananchi na matumizi ya picha za Feza. "Research before you post".
unatumia nguvu nyingi kuliko akiri iyo shule ndivyo ilivyo na ni zaidi ya hicho unacho kiona, mleta uizi hajaweka kila kitu ni shule ya kipekee. Siku nyingine ukija kupinga kitu wasiliana na ubongo wako
Hata ningekuwa nasoma hapo ningeondoka na three siyo mbayaa na mwaka huu watapata wanafunzi wa kutosha mwakani tokeo likitoka utashangaa wanaondoka na ziro wote
Kwa nchi hii ilivyo kila kitu biashara usishangae siku ukaambiwa huwa wananunua mitihani ili wanafunzi wote wafaulu wazidi kuvutia biashara yao ya shule.
Ila hata kama wataambiwa wananunua mitihani itakuwa haisaidii kwanza
Angalia mazingira ya hapo
Mandhari
VifaA vya ufandishaji na ujifunzaji
Wana haki ya kuwa na kupata matokeo mazur
Huyu mmiliki hana 'Kontena' kweli? Isijekuwa kaweka bomba NECTA ambapo mitihani inawamwagikia wanafunzi wa shule yake tu na kuzidhoofisha kwa utapiamlo za serikali!