Hii ndio ilikua sababu ya mikutano ya siasa kupingwa "STOP"

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Eeeh, Uchaguzi mdogo wa marudio kiti cha mbunge huko Dimani na kata 20 zote za udiwani Tanzania bara. zimeenda CCM.
Ndivyo CCM walivyotaja na ndio furaha yao.Yaani wanataka upinzani ufe kabisaaaa.

Hali ikiwa hivi kufikia 2020 hakuna cha ubunge, urasi wala udiwani!CCM watabeba zote.Sio ndio wenye dola bhana.

Wakurugenzi wote wa halmashauri nchini ni makada watiifu sana wa CCM na wanahudhuria vikao vya chama. Wengi wao walishindwa kura za maoni 2015.


Kazi iliypo sasa ni kuidai haki ya kikatiba ya kufanya mikutano ya kisiasa na Uwepo wa tume huru ya Uchaguzi kabla ya 2020, hakuna aliye juu ya katiba.


Mwisho CUF msimchekee tena Lipumba anakiua Chama, mtoeni kabisa ndani ya chama na iwe marufuku kulitamka jina la Chama.
 
Chadema Waue CUF lawama apewe Lipumba, kama Chadema wanaipebda sana CUF wawagawie Ruzuku CUF si walichangia mgombea Wa UKAWA kupata kura 6,000,000 za U-Nyerete?
 
Kwani kipindi cha "chopa tatu, kata tatu" napo mlikuwa mmenyiwa kufanya mikutano? Wacheni kulialia, return to base....mkajipange...ni hayo tu
 
  • Thanks
Reactions: igp
Kwani mmeanza Leo kubondwa nyie wahuni? Mliwahi kubondwa kwenye chopa tatu mkabondwa 2015 leo mmebondwa tena sijui kama mtakuja kosa visingizio nyie watu.
 
Tukubali ccm wamewazidi mbinu. Haiwezekani kushinda kwa kuhisi unashida.
Ccm wanadeal na wapiga kura halali kwa mbinu yoyote huku wapinzani wanadeal na watu mikutanoni Bila kuwa na uhakika kama waliosimama mbele yao ni wapiga kura au LA. Lakini pia zuio la mikutano limepunguza popularity ya upinzani mitaani mlipaswa kuja na njia mbadala ya kuwekeza kwa wananchi huku mkiendelea n harakati za kudai haki. Kuna kazi zaidi mnapaswa kufanya. Pili mngejitathmini kama uchaguzi wa kata hizi ungefanyika 2015 mngeshinda hayo maeneo na Damian?
 
Kinachowashangaza mnaona watu wote wapia kura wapo kwenye mitandao ya kijamii,,kwa hyo mkihamasisha mnana like nying mnaona mnamaliza kaz mapema,sasa Leo pamoja na kuikandia serikal kla siku lakin mmepigwa km mmesimama.

Wakati uchaguzi ukiisha ccm wanajiandaaga kwa uchguz unafuata,wakat nyie mkilalamikia matokeo wao wanajifunza mbinu mpya
 
Tukubali ccm wamewazidi mbinu. Haiwezekani kushinda kwa kuhisi unashida.
Ccm wanadeal na wapiga kura halali kwa mbinu yoyote huku wapinzani wanadeal na watu mikutanoni Bila kuwa na uhakika kama waliosimama mbele yao ni wapiga kura au LA. Lakini pia zuio la mikutano limepunguza popularity ya upinzani mitaani mlipaswa kuja na njia mbadala ya kuwekeza kwa wananchi huku mkiendelea n harakati za kudai haki. Kuna kazi zaidi mnapaswa kufanya. Pili mngejitathmini kama uchaguzi wa kata hizi ungefanyika 2015 mngeshinda hayo maeneo na Damian?
Bro, UKAWA walimwambia JPM kwamba mikutano ya ndani ni mizuri sana tena inawaunganisha na kujisahihisha makosa ya uchaguzi ulopita.
 
What if mngeshinda?????Ungekuja na andiko lipi tena???maana nyie kwa KUBADILI GIA ANGANI MPO VIZURI
Ukweli ni ukweli tu, bila katiba mpya na tume huru, na bila kuwa na wasimamizi wa uchaguzi ambao si makada, h nchi itakuwa kama rwanda, burundi na uganda.
 
CCM itakufa Wananchi wakiichoka siku hiyo hawatakua na woga wa kufanya lolote.
 
Back
Top Bottom