Hii ndio BONGO!...

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,845

...hivi? ...haka kamtindo ka viongozi wanapoteuliwa kushika nyadhifa mpya (hata huko ubalozini yapo!) kupangishiwa hoteli kabla ya kuhamia kwenye nyumba mpya za serikali utakoma lini? ndio kusema kiongozi anayetemwa ('ndivyo tulivyo') anang'oa mabati, milango hadi swichi za taa kwenye hizo nyumba za 'sirikali'???

inahuzunisha inapotajwa tatizo ni ukosefu wa fedha wakati huo huo gharama za hoteli mpaka sasa lishakaribia shilingi milioni kumi, fedha za ukarabati bado hapo hesabu yake, naye akihama hadithi inaendelea hivyo hivyo...!!!

'Kula na kipofu au Wajinga ndio waliwao?'
 
Kwanza hiyo ni bahati kuwa nyumba haikuuzwa enzi za Magufuli!

Kuishi hotelini mbona ni fasheni TZ hii.

Ikipigwa hesabu kwa all new appointments taking place, the sum is shocking!!!
 
sio "kula na kipofu" kwa sababu tunaona kwa macho mawili tena mchana kweupeee, hii inaitwa "wajinga ndio waliwao"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…