Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,215
- 3,587
Wizara za Muungano zinajulikana ni:-
1. Fedha.
2. Mambo ya Nje.
3. Mambo ya Ndani.
4. Ulinzi.
5. Elimu (mitihani na mtaala tu)
Wizara za muungano zinaweza ku-wazirishwa (waziri) toka upande wowote wa muungano.
Wizara zisizo za muungano kwenye muundo wa baraza la mawaziri la JMT Mzanzibari hawezi ku-wazirisha (kuwa waziri).
Swali fikirishi:
Mhe. Prof. Makame Mbarawa MB, kuongoza wizara ya Ujenzi ya serikali ya muungano siyo kuvunja Katiba? Na siyo kero ya muungano?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
1. Fedha.
2. Mambo ya Nje.
3. Mambo ya Ndani.
4. Ulinzi.
5. Elimu (mitihani na mtaala tu)
Wizara za muungano zinaweza ku-wazirishwa (waziri) toka upande wowote wa muungano.
Wizara zisizo za muungano kwenye muundo wa baraza la mawaziri la JMT Mzanzibari hawezi ku-wazirisha (kuwa waziri).
Swali fikirishi:
Mhe. Prof. Makame Mbarawa MB, kuongoza wizara ya Ujenzi ya serikali ya muungano siyo kuvunja Katiba? Na siyo kero ya muungano?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app