Afisa_Nkai
JF-Expert Member
- Jul 5, 2025
- 494
- 1,049
Chama kimoja kilikuwa hakina mpinzani, Rais ushindi wa kishindo kila miaka mitano. Kidogo ligi ilikuwa kwa wabunge.View attachment 3606139
Ukiweka ndio ni ule upande wake yaani yeye.
Ukiweka hapana ni upande wa kivuli na automatically unakuwa umechagua ndiyo π
michezo imeanza kitambo na hichoo.
Kwahiyo wapinzani hawakuepo kabisa enzi hizoo
Nachoka mimi na haya mambo
Aaanh okay lakin hata kama hakukuwa na ushindani kwenye kiti cha urais ndo ashindane na kivuliChama kimoja kilikuwa hakina mpinzani, Rais ushindi wa kishindo kila miaka mitano. Kidogo ligi ilikuwa kwa wabunge.
Dark side ya Mwalimu hiyo, hatar sanaDuhh!
Kila nikisoma madudu kumhusu huwa siamini kabisa!Dark side ya Mwalimu hiyo, hatar sana
Huzuni sanaAtleast walikuwepo viongozi waliojali uhai wetu wakati huo.
Siku hizi ni kivuli na mauaji, yote yanaishia kwetu watanganyika.
Binadam wabaya sisi, tunajifanya marafiki kumbe maadui wa kubwaKila nikisoma madudu kumhusu huwa siamini kabisa!
Naona ndio asili yetu tunaikwepa tu kwakuwa hatujapewa mamlaka fulani!Binadam wabaya sisi, tunajifanya marafiki kumbe maadui wa kubwa
Sahihi ila iko hivyo binadam tuna unarcissist tu in nature.Naona ndio asili yetu tunaikwepa tu kwakuwa hatujapewa mamlaka fulani!
Ndo tumeanza kuelewaWashawaimbia CCM NI ILE ILE, huwa hamuamini au?
Usiishie kuisoma kamuulize bibi yako alichotufanya wasukumaKila nikisoma madudu kumhusu huwa siamini kabisa!
Babu yangu ndio alikiwa shoga yake sema tu kafariki nikiwa sina mawazo ya kisiasa! Ila nitamuuliza aisee..!πUsiishie kuisoma kamuulize bibi yako alichotufanya wasukuma
Muulize utajua kwa Nini wasukuma tinachekwa japo vijiji vyetu havina hali mbaya kama ya wanaotucheka pamoja na unyama tukio fanyiwa kwa kivuli cha uzalendoBabu yangu ndio alikiwa shoga yake sema tu kafariki nikiwa sina mawazo ya kisiasa! Ila nitamuuliza aisee..!π
Duuh,umenikumbusha mbali sana!Kwa wabunge chagua nyumba au jembe!View attachment 3606139
Ukiweka ndio ni ule upande wake yaani yeye.
Ukiweka hapana ni upande wa kivuli na automatically unakuwa umechagua ndiyo π
michezo imeanza kitambo na hichoo.
Kwahiyo wapinzani hawakuepo kabisa enzi hizoo
Nachoka mimi na haya mambo