Nipo hapa moja ya pub maarufu barabara ya Sam Nujoma. Jamaa mmoja yupo na mchepuko na rafiki wa mchepuko.
Mchepuko ukaanza kumponda wife wa jamaa. Mara ya kwanza jamaa akaona poa tu pengine kw sababu yupo tingas, lakini kashfa zilivyozidi jamaa kakasirika na kuamua kuinuka.
Mchepuko na shosti wake wamembembeleza jamaa lakini katia ngumu na kuondoka!!
Hahahaaa mwambie jamaa aje hapa samaki samaki, nina neno nae. Michepuko na wajue kuwa siyo kwamba tunachepuka sababu hatuzipendi njia kuu, la hasha, bali tunatafuta sababu za kubaki njia kuu.
Hahahaaa mwambie jamaa aje hapa samaki samaki, nina neno nae. Michepuko na wajue kuwa siyo kwamba tunachepuka sababu hatuzipendi njia kuu, la hasha, bali tunatafuta sababu za kubaki njia kuu.