Hii kweli?: South Sudan Electric Company

Hii kweli?: South Sudan Electric Company

Infopaedia

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
1,231
Reaction score
1,495
Wadau, katika pitapita yangu kwenye mtandao wa ajira wa Brightermonday. Nilikutana na nafasi za ajira kwenye kampuni ya umeme huko South Sudan. Nikatuma maombi, juzi wameniandikia email kwamba watani-interview kwa njia ya email siku ya Ijumaa kuanzia saa nne. Sasa wadau hii kitu ipo kweli?, au kuna mtu kashawahi kukutana na kitu kama hii? Wasije wakanipotezea muda wangu halafu ukakuta ndio walewale matapeli. Ila mtandao wa Brightermonday nauamini hivyo sina uhakika kama hii issue ni ya kweli au la.
 
Ni kweli mkuu mi naamin hilo coz kuna mshkaj wangu kaenda kufanya kazi dubai kwq kupitia mtandao huo mwanzon alipotumiwa mi nilizarau na kumcheka sana kumwambia njaa itatupeleka pabaya hakukata tamaa walimtumia mtihan na form akajaza jaza zote katulia kama mwezi hakuona majibu nami nikawa namtania juz kati wamemtumia email full adres aende ubalozin na doccs zake orijino coz aliwatumia photocopy nikampeleka kaingia ndani kapewa maform kajaza kaambiwa alipie kiasi cha fedha kwa ajili ya nusu na aende akacheki afya regency kaenda karudi na vyeti fresh hana ugonjwa akaambiwa aripot siku ya tatu yake akaenda kapewa tiketi sasa hv anakula bata kiwanda cha maji kikubwa dubai naskia cha mtoto wa mfalme wa huko nimebaki mi na ujinga wangu maana nilimuona mjinga yeye kumbe mi ndo mjinga
 
Ni kweli mkuu mi naamin hilo coz kuna mshkaj wangu kaenda kufanya kazi dubai kwq kupitia mtandao huo mwanzon alipotumiwa mi nilizarau na kumcheka sana kumwambia njaa itatupeleka pabaya hakukata tamaa walimtumia mtihan na form akajaza jaza zote katulia kama mwezi hakuona majibu nami nikawa namtania juz kati wamemtumia email full adres aende ubalozin na doccs zake orijino coz aliwatumia photocopy nikampeleka kaingia ndani kapewa maform kajaza kaambiwa alipie kiasi cha fedha kwa ajili ya nusu na aende akacheki afya regency kaenda karudi na vyeti fresh hana ugonjwa akaambiwa aripot siku ya tatu yake akaenda kapewa tiketi sasa hv anakula bata kiwanda cha maji kikubwa dubai naskia cha mtoto wa mfalme wa huko nimebaki mi na ujinga wangu maana nilimuona mjinga yeye kumbe mi ndo mjinga
Dah! Asante kwa maelezo fasaha kaka. Tena kama mpaka ubalozi unahusika, hiyo ni ya ukweli. Ngoja hiyo kesho ijumaa tuone. Nitaku-update mkuu.
 
Back
Top Bottom