JEMEDARI .H.
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 341
- 63
Kuna mama mmoja niko nae karibu,kwa kifupi tunaheshimiana sana.Sasa ana mtoto wa kike alimaliza form 4 mwaka jana(2012) sasa wakat anasubir matokeo mama yake akaniambia dogo kaomba aje akae home kwangu atusaidie kaz za nyumbani kwani mimi na wife wote ni wafanyakazi so mimi nilikubali na alikuja home.Ki ukweli dogo amejaliwa na amekamilika idara zote kwa hiyo alivyofika siku ya 2 akaniomba namba yangu kwa maana penye tatizo anifahamishe,kinyume na hilo tulianza kuchat kwa sms za kawaida na had tukaanza kuongelea mapenz ikawa wife akiondoka mimi narud home naromance ila nikitaka kutingisha nyavu ananisukuma na anagoma na kuropoka hasira zikimtulia nikimhoji anasema ni mapepo na kwamba wanamsumbua kwa maana yeye ni bikra lakin siku za mwisho kabla hajaondoka maana sasa hivi kaondoka nilimkamata anatoka ndani kwa mtumish mwenzangu tena akiwa na khanga moja tu kama vile anavyokuaga na mimi sasa najiuliza ni kweli inawezekana mapepo yakamfanya hivyo maana had sasa nachat nae japo hapa home aliondoka na mimi naumia