Hii kitu ni kweli?

Hii kitu ni kweli?

Ni kweli,my hubby is vry polite ila mi najishtukia flan kama nimeranduka vile!
 
Ipo mkuu na ni makusudi ya mungu ndio mana unaona familia zinaishi kwa utashi chukulia mama akiwa boya na baba akiwa boya ni nini hapo kitaendelea hata watt watazaliwa mataahira kama huamini hii kitu angalia famili iliyo na mmoja mpole mmoja mkali alafu rudi kwa watt utakuta watt wamejigawa huyu kaenda kwa baba huyu kaenda kwa mama ndio hivyo.
Kwahyo hiki kitu kipo?
 
Just imagine ama wote wameranduka au wote watulivu. Bora wawe watulivu lakini hiyo ya wote walioranduka huwa ni shughuli pevu!
 
siyo kweli, ulitulia utapata Mwenza aliyetulia kinachowagharimu wengi ni kukurupuka na kupenda uzuri wa sura na kumbuka mwenza siyo bidhaa utafika na kununua ili upate unayemuhitaji unatakiwa ujiwekee utaratibu ni aina gani ya mwanamke unayemtaka baada ya hapo uwe na maandalizi yasiyopungua mwaka 1 ya kumsoma muhusika kama anaendana na wewe.
 
Ipo mkuu na ni makusudi ya mungu ndio mana unaona familia zinaishi kwa utashi chukulia mama akiwa boya na baba akiwa boya ni nini hapo kitaendelea hata watt watazaliwa mataahira kama huamini hii kitu angalia famili iliyo na mmoja mpole mmoja mkali alafu rudi kwa watt utakuta watt wamejigawa huyu kaenda kwa baba huyu kaenda kwa mama ndio hivyo.

Ulishawahi kuwa kwenye mahusiano kama haya?
 
Back
Top Bottom