Mwana Ilala
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 1,286
- 488
Hallo wana JF. Maendeleo ya Technolojia yaliyopo hivi sasa, Wataalam wanasema kuwa Still we haven't seen the Best yet" Hivyo Basi kasi ya technoljia inaendelea kukua kila kukicha hapa Dunia.
My point is, Kuna hizi vitu vinaitwa Internet TV box for streaming Contents from the Web. Wapo Competitor kama:
1. Google TV
2. Apple TV
3. Boxee Box TV
4. WD TV
5. Netgear TV Box
6. Roku TV
7. Asus TV n.k.
Vifaa hivi vinafanya kazi ya kuazima DvDs online kutoka kwa library Maarufu Duniani kama NETFlix/Amazon/Huluplus/Crackle/Vudu etc.
Pia waweza kuangalia TV Channels za bure Kama Music/Sports/Science/News and Entertainment zaid ya 700 Online Ikiwepo pia kipenzi cha Wengi "YOUTUBE"
Vifaa hivi unapovitumia lazima uwe na Router yenye speed ya kasi anzia 2Mbps.
Ningependa kujua kama kwa hapa kwetu Bongo vinafanya kazi na Internet gani bongo yenye uhakika wa kumenteini speed hiyo(2Mbps) continuously!?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
My point is, Kuna hizi vitu vinaitwa Internet TV box for streaming Contents from the Web. Wapo Competitor kama:
1. Google TV
2. Apple TV
3. Boxee Box TV
4. WD TV
5. Netgear TV Box
6. Roku TV
7. Asus TV n.k.
Vifaa hivi vinafanya kazi ya kuazima DvDs online kutoka kwa library Maarufu Duniani kama NETFlix/Amazon/Huluplus/Crackle/Vudu etc.
Pia waweza kuangalia TV Channels za bure Kama Music/Sports/Science/News and Entertainment zaid ya 700 Online Ikiwepo pia kipenzi cha Wengi "YOUTUBE"
Vifaa hivi unapovitumia lazima uwe na Router yenye speed ya kasi anzia 2Mbps.
Ningependa kujua kama kwa hapa kwetu Bongo vinafanya kazi na Internet gani bongo yenye uhakika wa kumenteini speed hiyo(2Mbps) continuously!?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums