Hii kesi ya Ugaidi itachukua muda mrefu, ni bora Mbowe akawekwa kizuizini nyumbani kwake badala ya mahabusu

Nilikuwa napitia kesi ya mzee Rugemalira aliyekaa mahabusu miaka 4 halafu akaachiwa huru.

Mikiiangalia kesi ya Freeman Mbowe hata jinsi wanavyomhandle ni dhahiri atakuja achiwa tu, sasa si vema na haki mtu akasota rumande miaka halafu ije kuonekana hana hatia.

Enzi za Nyerere palikuwepo utaratibu wa kuwaweka watu kizuizini kwa sababu za kiusalama.
Sijajua kama ule utaratibu bado upo.

Maendeleo hayana vyama!
Kama wanafikiri kumtesa mbowe alafu baadaye waje wamwachie kizembe Kama walivyofanya kwa rugemanira hii kesi haitakuwa na mwisho wa kipuuzi namna hiyo
 
Nilikuwa napitia kesi ya mzee Rugemalira aliyekaa mahabusu miaka 4 halafu akaachiwa huru.

Mikiiangalia kesi ya Freeman Mbowe hata jinsi wanavyomhandle ni dhahiri atakuja achiwa tu, sasa si vema na haki mtu akasota rumande miaka halafu ije kuonekana hana hatia.

Enzi za Nyerere palikuwepo utaratibu wa kuwaweka watu kizuizini kwa sababu za kiusalama.
Sijajua kama ule utaratibu bado upo.

Maendeleo hayana vyama!
Huyo kenge atakaa jela hadi mumusahau hapo hakuna U-Mandela. Kumbukeni sheria ya ugaaidi ilitoka kwa mabeberu wakati Bush aliposema , "you either with us or against us" katika War on terror. He just made the worst mistake kubishana na polisi- "Usiende pale, nitakweda kudai katiba mpya"
 
Hii kesi haieleweki imekuwa na episodes kama series kabisa😅
Ni kesi ya kipuuzi kuwahi kutokea,eti kesi ndogo kabla ya kesi kubwa😁
Kwahiyo baada ya hizi nenda rudi kutakuwa na nenda rudi tena ya kesi kubwa🙆‍♂️.
Kwanini kesi ndogo zisiskilizwe ndani huko then bang ushahidi upo mtuhumiwa aangushiwe vielelezo au aachiwe km kaonewa.
 
Nilikuwa napitia kesi ya mzee Rugemalira aliyekaa mahabusu miaka 4 halafu akaachiwa huru.

Mikiiangalia kesi ya Freeman Mbowe hata jinsi wanavyomhandle ni dhahiri atakuja achiwa tu, sasa si vema na haki mtu akasota rumande miaka halafu ije kuonekana hana hatia.

Enzi za Nyerere palikuwepo utaratibu wa kuwaweka watu kizuizini kwa sababu za kiusalama.
Sijajua kama ule utaratibu bado upo.

Maendeleo hayana vyama!
Hongera bwashee kwa kufikiri nje ya box la Lumumba!
 
Nilikuwa napitia kesi ya mzee Rugemalira aliyekaa mahabusu miaka 4 halafu akaachiwa huru.

Mikiiangalia kesi ya Freeman Mbowe hata jinsi wanavyomhandle ni dhahiri atakuja achiwa tu, sasa si vema na haki mtu akasota rumande miaka halafu ije kuonekana hana hatia.

Enzi za Nyerere palikuwepo utaratibu wa kuwaweka watu kizuizini kwa sababu za kiusalama.
Sijajua kama ule utaratibu bado upo.

Maendeleo hayana vyama!
La kwanza mstari wa mwisho umekosea sana. Unasema maendeleo hayana vyama wakati CCM wal8sema hawatapeleka maendeleo kwa majimbo ya upinzani. Japo wapinzani hawana kinyongo na waliendelea kulipa kodi licha ya kuteswa.
Ni kweli kesi ya MBOWE itachukua muda mrefu kwa sababu azma ya CCM ni kumtesa Mbowe Na wanachama wengine.
 
Hii wanaichukulia kama sehemu ya adhabu / kukomoana, sidhani CCM watakubali wazo lako.
 
Back
Top Bottom