FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Mwanamke anamaamuzi na maisha yake kama mwanaume , Tusichukulie ndoa kama kifungo ktk possibilities..!!
he TB ya kweli hayo?
Mwanamke anamaamuzi na maisha yake kama mwanaume , Tusichukulie ndoa kama kifungo ktk possibilities..!!
he TB ya kweli hayo?
hii kauli ndo tata lakini tusijump kwenye conlusion hapa kuwa ni lazima huyu mama atakuwa anagawa tunda kwa 'wazee'. Hatujui position ya mwanamke kazini- labda yupo juu zaidi ya mwanaume na ana uwezo wa kuongea na 'mabosi wenzie' kumuwekea mambo sawa mumewe au ana pesa na uwezo wa kumuhongea mwenzie au alishawafanyia favour (sio lazima mchezo) wahusika hapo kazini na sasa wanalipa fadhila tu, anything is possible!
kosa lilishafanyika hapo mwanzo wakati uhusiano unaanza, kama huyu madame angekuwa mkweli angemwambia mdau kabla mambo hayajanoga kwamba nina wawekezaji hapa ingekuwa nafasi nzuri kwa huyu bwana kuendelea au kuacha hayo mahusiano.
Kilichotokea ni kwamba huyu jamaa hana lawama kwa sababu hakuwa na taarifa za kutosha kuanzisha huo uhusiano.
Kwa akina dada ni vyema tukawa wakweli pale tunapoanza mahusiano kwani ukweli maumivu yake yangekuwa pungufu kama ukweli ungekuwepa at the beginning.
Napingana na wewe hapo nilipohighlight. Huyu Mwanamke alikuwa anamegwa hata kabla Mumewe hajapata kazi hapo kwenye hilo shirika.unammwaga na kumsusia kila kitu???
Kumbuka kamegwa ili wewe ufanikiwe
so mnagawana vipi hizo mali?
Mimi naona bora na mali umuachie.
We unaonaje?
mmesahau msemo wa "behind the successful man there is a woman"Napingana na wewe hapo nilipohighlight. Huyu Mwanamke alikuwa anamegwa hata kabla Mumewe hajapata kazi hapo kwenye hilo shirika.
Sitaki kutoa ushauri kwani no way out nitakuwa bias. Nway ndio wanawake hao bana
....Sasa ndio kwa kumegwa?mmesahau msemo wa "behind the successful man there is a woman"