Hi" kuna kampuni moja ya uwekezaji ipo wilaya moja kanda ya ziwa, hii kampuni haitaki wafanyakazi wake wajiunge na chama cha wafanyakazi i mean chama cha kutetea maslahi yao, ukionekana una sapoti chama unafukuzwa kazi! Hawa wawekezaji ni wageni hapa tz, but wanapata support kubwa sana kutoka kwa wabongo wenzetu ili kufanikisha kukiua chama kabisa...! Jamani what can we do cc wafanyakazi. Nawakilisha wakubwa.