Hii kamata kamata ya pikipiki yasababisha foleni barabarani

hamic abdallah

Senior Member
Jul 28, 2015
104
45
Yaani kumekuwa na foleni kubwa barabara ya Mbangara kwa polisi walikuwa wanakamata pikipiki sasa imekuwa ni kero tu sasa sijui hii vita ya polisi na pikipiki itakukwisha lini kama hamtaki pikipiki basi semeni watu wasinunue
 
Yaani kumekuwa na foleni kubwa barabara ya Mbangara kwa polisi walikuwa wanakamata pikipiki sasa imekuwa ni kero tu sasa sijui hii vita ya polisi na pikipiki itakukwisha lini kama hamtaki pikipiki basi semeni watu wasinunue
*Mbangara ndio nini? au aina mpya ya mabusha
 
Back
Top Bottom