Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,303
- 944
Mpaka hapo bado sijaelewa jeuri yake ndio ipi hapo sasaView attachment 370370
Kwanini wenzie wote wamevaa gwanda yeye kakomalia shati nyeupe?
Kwanini anajitofautisha na wenzie wote?
Ama ana maana ambayo ni ujumbe kwa wanaoelewa kwanini anafanya vile.
Naomba mnijuze wakuu.
Mungu ibariki Tanzania.
Nyamaza wwView attachment 370370
Kwanini wenzie wote wamevaa gwanda yeye kakomalia shati nyeupe?
Kwanini anajitofautisha na wenzie wote?
Ama ana maana ambayo ni ujumbe kwa wanaoelewa kwanini anafanya vile.
Naomba mnijuze wakuu.
Mungu ibariki Tanzania.
Kwani Mkuu wa shule naye huvaa uniform kama wanafunzi wake??View attachment 370370
Kwanini wenzie wote wamevaa gwanda yeye kakomalia shati nyeupe?
Kwanini anajitofautisha na wenzie wote?
Ama ana maana ambayo ni ujumbe kwa wanaoelewa kwanini anafanya vile.
Naomba mnijuze wakuu.
Mungu ibariki Tanzania.
Inawezekana akawa na sababu binafsi, yawezekana kung'oa nanga na atasema hajawahi kuwa cdm au vinginevyoView attachment 370370
Kwanini wenzie wote wamevaa gwanda yeye kakomalia shati nyeupe?
Kwanini anajitofautisha na wenzie wote?
Ama ana maana ambayo ni ujumbe kwa wanaoelewa kwanini anafanya vile.
Naomba mnijuze wakuu.
Mungu ibariki Tanzania.
Tafadhali sana usimfanishe Marehemu Raisi Nyerere na huyu Fisadi na mwizi wa mashamba ya umma.We we mkuuwa mikoa acha upumbavu wako mbona hayati baba wa taifa hakuwahi kuvaa magwanda ya kijani?
Kwa hiyo Lowassa ni baba wa Chadema? Interesting.We we mkuuwa mikoa acha upumbavu wako mbona hayati baba wa taifa hakuwahi kuvaa magwanda ya kijani?
View attachment 370370
Kwanini wenzie wote wamevaa gwanda yeye kakomalia shati nyeupe?
Kwanini anajitofautisha na wenzie wote?
Ama ana maana ambayo ni ujumbe kwa wanaoelewa kwanini anafanya vile.
Naomba mnijuze wakuu.
Mungu ibariki Tanzania.
Ameinunua Chadema hakuna wa kumhojiView attachment 370370
Kwanini wenzie wote wamevaa gwanda yeye kakomalia shati nyeupe?
Kwanini anajitofautisha na wenzie wote?
Ama ana maana ambayo ni ujumbe kwa wanaoelewa kwanini anafanya vile.
Naomba mnijuze wakuu.
Mungu ibariki Tanzania.