Hii inaboa sana...mmelazimishwa?

Hii inaboa sana...mmelazimishwa?

jembe afrika

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
7,602
Reaction score
3,781
Jamani kinadada hakuna kitu kinaniboa kama hizi lipshine na lipstiky yaan mkishazipaka baada ya muda kidogo huwa kuna utando mweupe ka maziwa mgando hutokea kwenye lips hasa asipoongea kwa muda yaani huwa nasikia kinyaaa na kutapika.khaaaaa yaan inaboa. kwan urembo haukamiliki bila kupaka hizo lipshine.

sipendi,nasema tena sipendi mnakera sana.
 
6297_546414915416362_453689116_n.jpg
 
Pole sana bro. Mimi nahisi vya aina hivyo ni feki (vya kichina) au vime - expire. Mbona wengine wanapaka na hawawi hivyo?
 
jamani kinadada hakuna kitu kinaniboa kama hizi lipshine na lipstiky yaan mkishazipaka baada ya muda
kidogo huwa kuna utando mweupe ka maziwa mgando hutokea kwenye lips hasa asipoongea kwa muda yaan huwa nasikia kinyaaa na kutapika.khaaaaa yaan inaboa. kwan urembo haukamiliki bila kupaka hayo madubwasha?
sipendi,nasema tena sipendi mnakera sana.
1234829_445738702203116_755093823_n.jpg
532596_315721835204804_818152938_n.jpg
533853_280249528752035_1328316107_a.jpg
1239860_445479208895732_587862045_n.jpg

1016716_410707425706244_1069638866_n.jpg
969167_414362318674088_1108232014_a.jpg
603068_418364411607212_611160818_a.jpg
 
ni jinsi ya upakaji tu mbona? unapaka kiasi na hizo zinazoacha utando ni feki
 
Mkuu Tyta nimekukubali, inaelekea una library ya picha za vitimbi. Tehtehteh!!!
 
Tyta ni noma!
Hawa na lipshine zao ukikutana nao usiku makaburini Kinondoni lzm utoke mbio utahisi ni "nsyuka"!Wanawake hawa wanatisha mno mweeeh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom