Ni kitu gani kimeonesha kuwa hilo jumba ni kanisa? Kama ni siafu au kunguni - maanake nasikia US inaongoza kwa kunguni kwenye maduka ya nguo (sisemi hilo tukio ni la US) anasumbua sehemu zile nafikiri ni busara ku-deal na tatizo hata kama watu wapo!!!!!!!!!!!!!