ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,628
- 4,970
Niliitwa intavyuu ofisi flani, tulikuwa wawili tu tunaofanyiwa intavyuu hiyo. Mimi nilikua wa kwanza nilijibu maswali kwa ufasaha na mwajiri akanikubali. Kwanza kunionyesha itakayokua ofisi yangu.
Baadae akanitembeza kuona sorrounding ya kampuni. Tukaenda mpaka factory na store huku bosi huyo akionesha akanikubali. Akanipeleka yard akanionesha magari mapya akisema haya ni kwa mastaff zangu wapya.
Kimoyoni nikapewa yes mzee mzima nimeshaukata. Tukarudi tena ofisini akaniuliza anilipe sh ngapi nikamtajia Sahara yetu ya dijiti sita tu. Bosi akionesha mshtuko na akaniuliza vipi akiongeza hapo nkamwambia na appreciate zaidi.
Basi tukaagana akanambia ngojea ni mwintavyuu huyu mwingine afu atanijulisha lini nijeanza kazi. Baba nikakaa nasubiria sim hola siku zaenda tu.
Mzee mzima ikabidi niluke hewani kuulizia.
Nikajibiwa you are not selected! Daah imeniuma ase.
Baadae akanitembeza kuona sorrounding ya kampuni. Tukaenda mpaka factory na store huku bosi huyo akionesha akanikubali. Akanipeleka yard akanionesha magari mapya akisema haya ni kwa mastaff zangu wapya.
Kimoyoni nikapewa yes mzee mzima nimeshaukata. Tukarudi tena ofisini akaniuliza anilipe sh ngapi nikamtajia Sahara yetu ya dijiti sita tu. Bosi akionesha mshtuko na akaniuliza vipi akiongeza hapo nkamwambia na appreciate zaidi.
Basi tukaagana akanambia ngojea ni mwintavyuu huyu mwingine afu atanijulisha lini nijeanza kazi. Baba nikakaa nasubiria sim hola siku zaenda tu.
Mzee mzima ikabidi niluke hewani kuulizia.
Nikajibiwa you are not selected! Daah imeniuma ase.