kilamuruzi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,232
- 1,064
Mwanamke akiwa na mmewe anatakiwa kuwa kahaba. Ili amatamanishe mmewe? Mbona mkienda bar mnapenda kuwashika ma***o waudumu wa kike.
Kosa ni kuacha mlango wazi wakiwa faragha au labda kukuruhusu kuingia kabla ya kujistiri. Ila mkuu huwa unaenda kuwatembelea muda gani na je, huwa unatoa taarifa kabla ya kwenda ??..
Isije kuwa unayetengeneza mazingira mwenyewe mkuu
Zamani Sana ila kwa sasa huwa siendi sehemu bila ya taarifa. Kama unakaa uswazini kwetu ni sawa maana watu wanatembeleana kiurafiki kwa mwendo wa mguu wa dakika 5 hivyo, unaweza kutana na mazingira yasiyofaaKwani wewe mkuu umefikia umri huo haijakutokea kweli?
Nimefungua chap nikajua kuna picha bna ahh na weye bna waiiiiiiWakuu habari zenu, poleni na majukumu ya hapa na pale,
Naenda kwenye maada, iko hivi kama maada inavyo jieleza hapo, yaani mwanamke kukaa mapaja waziwazi pale wanapokua wawili na mmewake, iwapo akitokea jirani au mtu tofauti ndio utaona mwanamke anajifunikafunika kanga vizuri,nilimkuta ndugu mmoja wakipiga stori na mke wake, yule shemeji yangu alikua amejisahau amejiachia nilivotokea ndivo akaanza kujifunika funika mapaja, hii imenitokea mara kazaa kwa marafiki zangu na hata kwingine
Sasa swali langu hua najiuliza kwanini iwe hivyo au kwasababu mwanamke anaona kua mmewake anamjua kilakitu ndio maana wakiwa wawili anajiachia tu.?
Imeandikwa na
Exalioth: natumia Jamiiforum
Njoo na pointi hii kwako imekaeje
Hahahahaaa ndiyo mkuu anatumia jamiiforum kupost!!!Kwamba unatumia jamii forums
Uwe unapiga hodi kwa watu mkuu
Wakuu habari zenu, poleni na majukumu ya hapa na pale,
Naenda kwenye maada, iko hivi kama maada inavyo jieleza hapo, yaani mwanamke kukaa mapaja waziwazi pale wanapokua wawili na mmewake, iwapo akitokea jirani au mtu tofauti ndio utaona mwanamke anajifunikafunika kanga vizuri,nilimkuta ndugu mmoja wakipiga stori na mke wake, yule shemeji yangu alikua amejisahau amejiachia nilivotokea ndivo akaanza kujifunika funika mapaja, hii imenitokea mara kazaa kwa marafiki zangu na hata kwingine
Sasa swali langu hua najiuliza kwanini iwe hivyo au kwasababu mwanamke anaona kua mmewake anamjua kilakitu ndio maana wakiwa wawili anajiachia tu.?
Imeandikwa na
Exalioth: natumia Jamiiforum
ukiongezeka ongezea umri utapata jibu mwenyewe
Umejibu mwenyeweWakuu habari zenu, poleni na majukumu ya hapa na pale,
Naenda kwenye maada, iko hivi kama maada inavyo jieleza hapo, yaani mwanamke kukaa mapaja waziwazi pale wanapokua wawili na mmewake, iwapo akitokea jirani au mtu tofauti ndio utaona mwanamke anajifunikafunika kanga vizuri,nilimkuta ndugu mmoja wakipiga stori na mke wake, yule shemeji yangu alikua amejisahau amejiachia nilivotokea ndivo akaanza kujifunika funika mapaja, hii imenitokea mara kazaa kwa marafiki zangu na hata kwingine
Sasa swali langu hua najiuliza kwanini iwe hivyo au kwasababu mwanamke anaona kua mmewake anamjua kilakitu ndio maana wakiwa wawili anajiachia tu.?
Imeandikwa na
Exalioth: natumia Jamiiforum