Mkuu usizoee hivyo maana anaweza kujisahau akaenda ata jirani akajiachia
Point muhimu sana mkuu.Mwanaume au mwanamke hana cha kuficha mbele ya mwenza wake maana wote wanajuana A-Z.
Ila mwanamke kujiweza wazi muda mwingi humfanya mumewe kuizoea ile hali na kukosa hisia (msisimuko) mara aonapo.
Ni vyema kukaa kimitego kwa wakati maalum na lengo mahususi ili jambo hilo liwe na athari kwa hisia za mwenza wake.
Nadhani huelewi maana ya kuwa mwili mmoja.
Kama tunaoga pamoja, tunalala pamoja, na ukiwa nyumba ina privacy nzuri kiasi ambacho wageni wataanza kugonga getini, hatuvai nguo hata moja.
Kila mtu na anavyoona kwamba inamfaa.
HahahaUmri umri umri ukikua utajuwa tu.
Si kila jambo ulifaham ni mapema mno.
Usipende kufuatilia kila kitu.
Matako yenyew yawe yana rangi basi mengi utakuta meusi tii, sababu hamjui hata kuyapaka mafuta. Bora aone tu hyo mizigo kuliko matakoLakini mm huwa najisikia ovyo kukaa mbele ya mwanamke nikiwa uchi yani kumuonesha mizigo bora nimgeukie yani aone tako
Si bora huyo ulikuta mapaja tu, maana wengine kama weekend Mr yupo ndio tunashindaga na mitandio mepes tu. Toa taarifa kama unaenda kwa mtu sikuhizi simu zipo, kwanamna yoyote ukishatoa taarifa kuwa utaenda siku hyo basi hata watu kwa siku hyo watakaa wakitarajia kuna ugeni, siyo unaibuka tu hayo ndio matokeo yake