exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,190
- 3,685
Wakuu habari zenu, poleni na majukumu ya hapa na pale,
Naenda kwenye maada, iko hivi kama maada inavyo jieleza hapo, yaani mwanamke kukaa mapaja waziwazi pale wanapokua wawili na mmewake, iwapo akitokea jirani au mtu tofauti ndio utaona mwanamke anajifunikafunika kanga vizuri,nilimkuta ndugu mmoja wakipiga stori na mke wake, yule shemeji yangu alikua amejisahau amejiachia nilivotokea ndivo akaanza kujifunika funika mapaja, hii imenitokea mara kazaa kwa marafiki zangu na hata kwingine
Sasa swali langu hua najiuliza kwanini iwe hivyo au kwasababu mwanamke anaona kua mmewake anamjua kilakitu ndio maana wakiwa wawili anajiachia tu.?
Imeandikwa na
Exalioth: natumia Jamiiforum
Naenda kwenye maada, iko hivi kama maada inavyo jieleza hapo, yaani mwanamke kukaa mapaja waziwazi pale wanapokua wawili na mmewake, iwapo akitokea jirani au mtu tofauti ndio utaona mwanamke anajifunikafunika kanga vizuri,nilimkuta ndugu mmoja wakipiga stori na mke wake, yule shemeji yangu alikua amejisahau amejiachia nilivotokea ndivo akaanza kujifunika funika mapaja, hii imenitokea mara kazaa kwa marafiki zangu na hata kwingine
Sasa swali langu hua najiuliza kwanini iwe hivyo au kwasababu mwanamke anaona kua mmewake anamjua kilakitu ndio maana wakiwa wawili anajiachia tu.?
Imeandikwa na
Exalioth: natumia Jamiiforum