Umesema ni tofauti ya kitu kidogo,mtu kukuchunia hata week au mwezi kwa kitu kidogo hapo lazima ujikate zako,mtu anayekupenda kweli kukuchunia hata kwa siku nzima ni ngumu sana,watu kama hao hata usibembeleze wanapata kiburi,kaa kimya na wewe kama anakupenda atakutafuta,kuchuniwa kwa mwezi wote ujue hapo hamna lako