Mkuu yaani hawa wanawake utafikiri wamefundishwa na mwalimu mmoja kuwa kila mwanaume ukiwa nae akikuuliza mie ni wangapi kwako ujibu wa 2.... Mwenzio nishaachaga kuuliza hilo swali kitambo maana ninaonaga tu kama halinisaidii sana sana nitaishia kumuongezea dhambi mwenzangu nyingine za kudanganya