Hii imekaaje wakuu?

Huyo unaachana naye na hata nauli ya kurudia alipotoka hapati, lakini to be fair isije ikawa mtu mzee au mgonjwa unampa deal kama hiyo, haifai, wengine hawawezi tena kufanya kazi ni kusaidiwa
 
Hii inatafsiri kwa sisi weusi, ukifanikiwa ndugu na wale wakaribu yako wanakuwa wanapambana ili kukushusha, je na kwa wenzetu iko hivyo?
 
Huyo unaachana naye na hata nauli ya kurudia alipotoka hapati, lakini to be fair isije ikawa mtu mzee au mgonjwa unampa deal kama hiyo, haifai, wengine hawawezi tena kufanya kazi ni kusaidiwa
Unakuta wana nguvu kabisa, wakati mwigine kazi wanazofaya unaona kabisa haziwafikishi mbali, unaona bora uwasogeze karibu wafanye kazi waweze kula mema ya dunia, wao hawataki kuwa chini yako.​
 
10,000x365= 3,650,000… mpe hiyo kama unayo alaf mpe maelezo yake
Ki-ujasiriamali unaitoa hiyo kutoka wapi, na pale ulipoipunguza itarudije? Kama mikopo n.k inakuja na riba, je hiyo utakuwa umeamua kuitupa tu?
 
Hii inatafsiri kwa sisi weusi, ukifanikiwa ndugu na wale wakaribu yako wanakuwa wanapambana ili kukushusha, je na kwa wenzetu iko hivyo?

Wanaweza wasiwe wanapamba kukushusha, lakini mindset zao za kukosa shukrani na tamaa, zinaweza kuingia hapo katikati. Watu weusi tuna shida sana ya "mindset". Shida kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…