Ni hivi km huyo kaoa dadake na dadake ni mkubwa kwenye familia basi huwa wana mamlaka hayo km wazazi wamemuarifu afanye kutokana na umbali au uzoefu wa kukabiliana na ww. Hiyo nikukubana wewe mwizi wa binti yao. So wako sahihi kwa tamaduni za huko. Kalipe mahari utakaaje na mtoto wa mwenzio unamtumia bila ghalama...
cha kufanya hapo usijifanye kichwa ngumu kuwa upande wa waliokosea na uende na kama hiyo mahari unayo ilipe japo nina imani kuna lingine waliloliona hilo la mahari ni kelele tu...
Wajamvi atimae ukweli umepatikana,jamaa anampenda mke wangu kuliko mke wake. Sikujua kabisa maana kanitumia sms eti huyo ndo baba mtoto
Wajamvi atimae ukweli umepatikana,jamaa anampenda mke wangu kuliko mke wake. Sikujua kabisa maana kanitumia sms eti huyo ndo baba mtoto
Shemegi anataka kuzima taa tu huyo hana jengine