Hii ikoje?

Hii ikoje?

Posho City

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
648
Reaction score
418
Kuna kazi niliomba kupitia tume ya ajira mwaka jana.Kigezo cha elimu walikuwa wanataka diploma in educatio.Niliambatanisha cheti cha diploma ingawa nina hata bachelor ya hyohyo education.
Sasa nimeitwa usaili,je ni sahihi siku ya usaili nkawaonesha na cheti cha bachelor au niendelee kuzingatia malekezo yao ya diploma tu?
 
Take them all,lakini utawaonesha cha diploma kwanza ili wakihitaji cha bachelor uwaoneshe pia
 
Back
Top Bottom