Cheef Baroka
JF-Expert Member
- Apr 28, 2019
- 490
- 1,022
Kama umeshindwa kujiongeza hata kwenye hili nna mashaka kama wewe ni mwanaume labda bado ni mvulanaNimekutana na binti mmoja muda wa mwaka sasa tuna uhusiano Bomba lakini mwezi wa 6 tar 23 alisema hafurahii uhusiano wetu na wala hatujagombana ingawa siku chache nyuma alianza kuonesha tofauti nyingi
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Punguza Chips na kuchezea simu/kuchat Insta wakat wa showEeh [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimemuelewa anasema hataki uhusiano nikimuuliza anatakaje hasemi nikimwambia anataka tuachane anasema ananipenda Tu
Njia panda
Mimi nataka nimpige chini kabla sijapigwa chini
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Labda namba 4Hapo kuna mambo 5 master.
Huenda
1- kashapata mtu mwingne anaemvutia na kumuona wa tofauti zaidi yako. But anashindwa namna sahihi yakukuacha mana nafsi inamsuta. Na huenda kweli anakupenda ila huyo jamaa kuna kitu anampa/anamfanyia kinampagawisha.
2: Anakupima kiwango cha upendo ulichonacho juu yake. Wanawake sometimes hupenda vile tunavyowabebembeleza na kuhangaika juu yao.
3: Kuna kitu/vitu ulimuahidi but siku zinaenda haoni ukitekeleza so anaanza kuwa na wasiwasi na wewe japo anakupenda.
4: Kuna imani flani imemuingia anahisi mnachofanya mnakosea ila ndo ashakupenda. Anatamani ndoa.
5: Kuna skendo zako kaziskia anaumia japo hajawahi kukwambia
Mridhishe demu wako kwanza.Aisee
Hebu nipe huyo dem ako akusimulie
Kwenye Hilo swala Niko poaMridhishe demu wako kwanza.