Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
😂😂Kuna Majibu ya kweli humu halafu yanauma.
😂😂Kuna Majibu ya kweli humu halafu yanauma.
He/she is right 100% fuatilia utalijua hiliMleta mada utakuwa unaumwa si bure wewe
MMwl Mpwayungu 🤣🤣Wanaume tumeumbwa mateso............zile shule zisizokua na vyoo ndo tunapelekwa huko
Huhitaji kutumia takwimu hata macho yanaona. Nenda NMB tawi la msasani pale halafu kaangalie na unihesabie wanawake ni wangapi. Unaweza ni Taasisi ya Chama cha akina mama.Takwimu gani umetumia?
Wewe umesoma ukaelewa?Wake za watu hao, nyie mnapangiwa vijijini huko.......hao wanafunzi kwani hawaondoki shule kwenda kuchangamana kitaa, masaa 24 wapo na walimu?